Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Darsa la Kiroho kwa Wanafunzi Mabinti wa Hawzat ya Hazrat Zainab (sa), chini ya usimamizi wa Jami'at Al-Mustafa International – Tawi la Dar es Salaam, Tanzania.

22 Mei 2025 - 16:28

Darsa la Kiroho (Akhlaq ya Kiislamu) kwa Mabinti wa Hawzat Hazrat Zainab (sa) + Picha

Hawzat hii imejikita katika kuwakuza wanafunzi wake wa kike katika maadili safi ya Kiislamu, ili kuwajenga kuwa wanawake bora kama vile Uislamu unavyomtaka mwanamke mwema awe.

Darsa la Kiroho (Akhlaq ya Kiislamu) kwa Mabinti wa Hawzat Hazrat Zainab (sa) + Picha

Kwa hakika, mabinti hawa leo ni wanafunzi, lakini kesho watakuwa mabalozi wa kweli wa maadili ya mwanamke wa Kiislamu katika familia na jamii zao.

Darsa la Kiroho (Akhlaq ya Kiislamu) kwa Mabinti wa Hawzat Hazrat Zainab (sa) + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha